Boresho la "Je, wanafanya kazi kwa ajili yetu?"
24 Jun 2010
hot
|
Uwazi
Mwezi Februari 2010, Uwazi walitoa chapisho lililoitwa “Je Wanafanya kazi kwa ajili yetu?”. Hili lilifunua ukweli juu ya uchangiaji wa mada wa wabunge katika mijadala kwenye vipindi mbalimbali bungeni tangu mwaka 2005 mpaka 2009. Boresho la toleo hili limejikita katika muhula wa 19 wa bunge ambao ulianza tar 13 mpaka 23 Aprili 2010. Bonyeza hapa kupakua ripoti hii (Kiingereza).
Endelea kusoma:
pakua nyaraka
Tafsiri
unaweza pia kupenda...
- Je Watoto Wetu Wanajifunza? Kuhesabu na Kusoma Katika Afrika Mashariki (28 Jul 2011)
- Shule za msingi za Serikali Dar es Salaam:Vyoo vibovu, michezo kidogo. (2 Jun 2011)
- Shule za Msingi mkoani Dar es Salaam:Msongamano wa wanafunzi bila vitabu vya kiada vya kutosha (2 Jun 2011)
- Matokeo yakipuuzwa, ukaguzi wa nini? (24 May 2011)
- Wabunge waongeaji Bungeni ndio hutetea viti vyao tena? (14 Apr 2011)
- Je, wananchi wanaweza kufuatilia pesa zao? (1 Nov 2010)
- Misamaha ya Kodi Tanzania (28 Oct 2010)